WAKENYA WAANZISHA BIFU JIPYA NA WABONGO NI BAADA YA KUMUITA DIAMOND MKENYA SIO MTANZANIA

Hiyo picha unayoina hapo juu ni moja ya ukurasa kwenye mtandao maarufu nchini South Africa ambao ulipost ukiandika kuwa,Nanukuu"AKA AMEKUA MSANII WA KWANZA AFRIKA KUSINI KWA KUPATA WATAZAMAJI MILION MOJA KWA SIKU KUMI,VIDEO MPYA YA AKA MAKE ME SING ALIYOMSHIRIKISHA RAPA WA KENYA DIAMOND PLATNUMZ  IMEMFIKISHA MBALI MSANII HUYO WA AFRIKA KUSINI(AKA)
VIDEO YA MAKE ME SING IMEFIKISHA WATAZAMAJI MILION MOJA KWA SIKU KUMI TU NAKUMFANYA AKA KUWAMSANII WA KWANZA AFRIKA KUSINI KUFIKIA. "MWISHO WA KUNUKUU.
Nadhani unajua nini kitawasibu wakenya baada ya kujitangazia Diamond ni msanii wao,Hawa jamaa wanaonekana wezi sana maana walishawahi kusema Mlima Kilimanjaro ni wa kwao Saizi Tena Diamond wao,Toa neno moja tu kwa Wakeya na hawa wasauzi,Usiache kucoment hapo chini then shea na wana.


Labels:

Post a Comment

[blogger]

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.