HABARI NJEMA KWA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU KILIO CHA MIKOPO CHASIKIKA

 
Ni muda mrefu sasa wanafunzi wa elimu ya juu wamekua wakilalamikia bodi ya mikopo hapa nchini,hatimaye kilio kimesikika na wamekuja na njia hii.
Bodi ya mikopo ya elimu ya juu nchini imesema kwasasa imekwishaimarisha mifumo yake ya kupokea na kushuhulikia malalamiko ya wanafunzi haswa kwa waliokosa mikopo kwenye bodi hiyo.
Hayo yamebainiswa na meneja wa habari, elimu na mawasiliano wa bodi hiyo Bwana Omega Ngole huku akisema bodi hiyo kwasasa imejipanga vyema katika kuhakikisha wanafunzi wanaomba mikopo wanapata mikopo kwa wakati. 
Bwana Omega Ngole ametoa wito kwa mafisa mikopo wa vyuo hapa nchini kuhakikisha wanabainisha matatizo ya wanavyuo na kuyashuhulikia kwa wakati ili kupunguza migogoro ya wanavyuo hao katika upatikanaji wa mikopo.
USIACHE KUCOMENT THEN LIKE ILI USHEE NA WANA
Labels:
This is the most recent post.
Older Post

Post a Comment

[blogger]

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.